kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 851
Kumbe wanakusanya maoni, nilikuja kasi nikidhani watu wanatoa facts.
Kama unasemea nchini kwao Argentina,kweli ni wao vinginevyo hakuna kitu.............
We unayejua imekufikisha wapi!? Usiniletee mihemko yako ya kitoto hapa.Hujui mpira
Kumbe wanakusanya maoni, nilikuja kasi nikidhani watu wanatoa facts.
We unayejua imekufikisha wapi!? Usiniletee mihemko yako ya kitoto hapa.
Mkuu kwa mujibu wa Mess amekiri katika wote ni Ronaldinho pekee ambaye hafananishwi Na yeyote,,,binafsi Messi ni weka mbali Na watoto japo CR7 nampenda,,,
Ningekutumia ila hujui kispanish,,,Weka audio ama video tumsikie wadau wake humu kama ni kweli kaongea maneno hayo the KING,,,,,, na kama nikweli kazungumza basi ni mtu swafi mno asiyekuwa na wivu kwa mchezaji yeyote yule na si kwa gaucho pekee,, in-short MESSI HANA WIVU
vile vile kujiweka wa chini mbona ni kitu cha kawaida sana tu kwake same MARADONA!
Pia Isiwe ndiyo kigezo kwenu cha yeye kuongea maneno hayo nanyi mkaamini kuwa ni kweli gaucho bora zaidi yake...hahaaa atasubiri sanaa,,maana hata level ya zidane bado hajafikia..iweje awapite wakubwa zake D10S & LEO10S? ni kuwakosea heshima wafalme hawa
Ningekutumia ila hujui kispanish,,,
Mnamsahau sana Romario wandugu!
Asiye wakubali Diego Maradona na Messi huwenda atakuwa FYATU, apelekwe haraka milembe
Bob Marley mwenyewe alikua anajua hakuna kama PELE btw mi namkubali sana ronaldino gaucho dah! yani hakika huyu ni nabii ama mtume wa soka!...
Mleta uzi kafafanua vizuri mno! Tatizo letu waaflika tunaangalia rangi ya mtu na utaifa wake, hii kitu mbaya sana inatuponza...
sasa wewe kwa akili yako tu ya kuzaliwa unaamini Gaucho kamzidi Maradona,mfalme wa soka,hata pele katupiliwa mbali?
Kwa akili yako tu ya kuzaliwa unaamini Gaucho kamzidi Messi,mfalme wa soka?
Kwa akili yako tu ya kuzaliwa unaamini Gaucho kamzidi Zidane?
Watanzania tunaongea mno without facts...kwakuwa bob marley kao
why unalazimisha jibu lako tu kuwa sahihi kila aliyetoa jibu ana sababu zake chakushangaza unaongelea rangi na utaifa wakati sikuzungumzia hayo
haya basi wabrazil wanajua mpira kuliko taifa lolote hapa duniani kutokana na mimi nionavyo.
Kama hukuwahi kumuona 'Garrincha' tafuta video zake, aliichezea real madrid kwa muda mrefu sana. Kama hukumuona Gaucho pia tafuta highlights zake. Isitoshe mpira wa kipindi hicho ulikua una ladha na watu wanafunga ktk mazingira magumu kuliko sasa hivyo ilikua inanogesha zaidi. Mf; ni goli la mkono la Maradona. Sasa iv sheria ni nyingi, kuna video(reviews), referees hadi nyuma ya goli, mpira ukigusa chaki kuna 'sensor' golini. Messi wa kawaida sana, kwa mawazo yangu hajafika hata kiwango cha Okocha, Lkn tusitumie nguvu nyingi kukuaminisha usichokifahamu pengine huwajui watu hao!!!