Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,943
- 93,864
Nimefuatilia majibu yako mwanzo mpaka mwisho nataka nikulize swali jingine kwako wewe kama unataka kazi lakini unaogopa kumkufuru mungu kwanini usiache kutafuta kazi badala yake uwe mchangaji au padri ili uweze kumtumikia mungu kwa ukaribu zaidi.
Mkuu mbona unauliza irrelevant questions...
Mtu yoyote anapaswa kumwabudu Mungu haijalishi nafasi yake kanisani au msikitini.Hivyo suala la kutomkufuru Mungu ni lazima na wala sio wajibu au hiari.
Mungu yupo kila mahali hivyo huweza tumikiwa mahali popote.