ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
mwaya ummu kulthum bora ubadilishe. ngoja wadau wakutaftie.. . .
sa je nikikamatwa nani alaumiwe?
kikwete
heheheeee ulivotamka kwa mahaba ilo jina hadi raha
Dah!!! Aisee Erickb52 nitake rashi mtu wangu yaani hivyo vitu mimi huwa sigusi kabisaaaa.
Wadau kwa taarifa yenu ummu kulthum ndiye mchumba wangu mtarajiwa na kama alivyosema mwenyewe mimi na mdogo wangu Young_Master ndio wadhamini wa huu mtanange.
Ni muhimu kukumbuka vionjo alivyovisema bibie kwa umakini mkubwa. Kumbuka pia lazima mzingatie kuwa avatar iwe pia na vionjo vitakavyonifanya nihisi kwamba kweli nimepata mtoto mashalaah.
Tahadhari: Huu si ukumbi wa kutongozana wala kupeana promise. Lete maoni yako au avatar.
Here we go!
Wakatabahu platozoom
JF FOUNDER
Young_Master Nimefuta kauli kwako ila kwa platozoom siifuti ng'oo
ina mutu hiyo bna, hehehe
Young_Master Nimefuta kauli kwako ila kwa platozoom siifuti ng'oo
Khee! Mkuu mie mbona sina noma. Mke wangu akiwa kwangu, akiwa nje si wangu.
Kwa masheriti uliyotoa, bora ungeweka picha yako tu halisi. Unamuogopa ACP Msangi?