Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Wakuu kule Nigeria kuna kitu kinaitwa section 419..sijui kama mmeshawahi kukisikia?
Wakuu kautafiti kidogo tu google kananiletea info hizi, jana niliwaambia kuhusu section 419 kule Nigeria na hapanarudia tena.
Nilicgofanya ni kukopy sehemu ya info alotoa mkulu FMES hapo juu, actually paragraph ya kwanza tu, na jibu la kwanza google ndo hiyo website http://419.bittenus.com/eageap/
Applicants will have their entry visas processed in their country of choice for employment and housing resettlement program. All entry for VISAS will be applied through the respective government right channels for the visa depending on the system of government been operated by the country an applicant is applying to relocate.
sasa ukichunguza kwa makini hiyo website ina mapungufu mengi ambayo kwa credible organisation isingekuwa nayo.
website jina lake yenyewe utata,
Angalia picha za wenyewe zilivo kisha right click uangalie properties baadhi yake zina majina tofauti na jina la kwenye picha!
Angalia emails..za yahoo na gmail!
address za hongkong, na namba za simu walizotoa ukichunguza country code ni sawa ila zinazofuata ni fake,
Sijui tunaelekea wapi lakini sikutemea kama hili lingeweza kuletwa hapa JF, au kwa vile sasa hivi kuna wanachama zaidi ya 12,000 ukiacha wapiga chabo?