William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Ninapenda kuwaarifu ndugu zangu wote hapa JF, kwamba kwa furaha kubwa sana mimi na ndugu zangu tuko katika matayarisho makubwa sana ya kumfanyia sherehe nzito sana mzazi baba yetu, siku ya Jumamosi ijayo ikiwa ni kwa ajili ya siku ya kuzaliwa kwake, tarehe 19, April miaka 75 iliyopita. Sherehe hizi tutazifanya rasmi siku ya Jumamosi ijayo tarehe 18, April nyumbani Sea View. Siku hiyo tutakua na shughuli mbali mbali ikiwa ni pamoja na kushiriki katika kusaidiana kuboresha shughuli za nyumba mbali mbali za watoto wa yatima, mjini Dar.
- Nimewaomba ndugu zangu kunipatia nafasi chache kwa ajili ya wanachama wenzangu kutoka katika jamii hii ya Jamii Forums au JF, walioko Dar na popote pale duniani ambao wangependa kushiriki nasi katika kusherehekea maisha ya mzazi wetu. Kwa wale ambao ni members wa hii forums na wangependa kushiriki nasi ninawaomba kwamba tuwasiliane kupitia PM ya hii forums ili niweze kuwa-include katika list ya wageni waalikwa, kwa vile ushiriki wa hii sherehe ni kwa wageni waalikwa only na hii kutokana na uwezo wetu mdogo wa kifedha ambazo tumechangishana sisi wanandugu.
- We are so excited na grateful kwa Mwenyezi Mungu kwa mzazi wetu kufikisha miaka 75, hasa tukiangalia safari yake ndefu sana kimaisha iliyoanzia na kelelewa na a single Mom baada ya baba yake, yaani babu yetu Mzee Yohana (John), kufariki wakati mzazi wetu akiwa na miaka 5 tu, kule kijijini kwetu Mvumi, safari ambayo mpaka leo bado inaendelea na tunamuombea Mungu amuongezee zaidi.
- Again kwa wale wote members wa hii forums ambao wangependa kushiriki nasi ninawaomba tuwasiliane haraka kupitia PM ya hii forums, nitapatikana kwenye namba zangu za simu kuanzia Jumanne kwa sasa niko safarini na nina a very limited access ya mtandao na simu, ingawa unaweza kuniachia message na nitarudisha simu yako au ujumbe wako maramoja na hii ni kwa members wote wa hii JF-Makini bila kumbagua yoyote yule.
Ahsanteni Ndugu Zangu Wote Wana-JF, na Pasaka Njema.
William.
- Nimewaomba ndugu zangu kunipatia nafasi chache kwa ajili ya wanachama wenzangu kutoka katika jamii hii ya Jamii Forums au JF, walioko Dar na popote pale duniani ambao wangependa kushiriki nasi katika kusherehekea maisha ya mzazi wetu. Kwa wale ambao ni members wa hii forums na wangependa kushiriki nasi ninawaomba kwamba tuwasiliane kupitia PM ya hii forums ili niweze kuwa-include katika list ya wageni waalikwa, kwa vile ushiriki wa hii sherehe ni kwa wageni waalikwa only na hii kutokana na uwezo wetu mdogo wa kifedha ambazo tumechangishana sisi wanandugu.
- We are so excited na grateful kwa Mwenyezi Mungu kwa mzazi wetu kufikisha miaka 75, hasa tukiangalia safari yake ndefu sana kimaisha iliyoanzia na kelelewa na a single Mom baada ya baba yake, yaani babu yetu Mzee Yohana (John), kufariki wakati mzazi wetu akiwa na miaka 5 tu, kule kijijini kwetu Mvumi, safari ambayo mpaka leo bado inaendelea na tunamuombea Mungu amuongezee zaidi.
- Again kwa wale wote members wa hii forums ambao wangependa kushiriki nasi ninawaomba tuwasiliane haraka kupitia PM ya hii forums, nitapatikana kwenye namba zangu za simu kuanzia Jumanne kwa sasa niko safarini na nina a very limited access ya mtandao na simu, ingawa unaweza kuniachia message na nitarudisha simu yako au ujumbe wako maramoja na hii ni kwa members wote wa hii JF-Makini bila kumbagua yoyote yule.
Ahsanteni Ndugu Zangu Wote Wana-JF, na Pasaka Njema.
William.