Duh kweli kuna kazi hapo. Sijui ana umri gani maana km ni mkubwa angekuja kuna pesa atarudishiwa na kama ni mdogo saana basi neno hadanganyiki amewahi mno kulitumia. Inabidi kama kuna change uwe unamwambia atarudishiwa change
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.