Me nimeipenda hyo ya mstari wa Mwisho,
Special kwa kipenzi changu Ruhazwe,maana pombe hanywi,sigara havuti,soda hanywi. Sasa ulevi wake nini?
Lazima alinywe.
Ila hlo Tangazo kama naliona ona huku mitaa ya Kino/Nyamala hv.
naona freemanson wamepata promo ya nguvu, kila kona siku hizi ni jina hilo tu. Mi nimeshalichoka