Jamani sijui niseme nini kuhusu hili tangazo la Zain la kusisitiza ni sh. Moja Tu na Kibonde wa Clouds FM linavyoboa kama nini, likifika tu uwa nabadilisha channel.
Mimi nafikiri hawa Zain wamechemka kumtumia Kibonde na wakati kuna ma-model wenye mvuto wasio na vitambi na wanaojua kazi yao, sasa hivi vitu vya kupeana peana mwisho wa siku mnaharibu kazi.
Sijui wenzangu mnaonaje?
Mimi nafikiri hawa Zain wamechemka kumtumia Kibonde na wakati kuna ma-model wenye mvuto wasio na vitambi na wanaojua kazi yao, sasa hivi vitu vya kupeana peana mwisho wa siku mnaharibu kazi.
Sijui wenzangu mnaonaje?