Jana katika pita pita zangu huko Kigogo kwa Bint Kahenga nimekutana na Tangazo la mganga kutoka Moshi, nimeshangaa sana mie nishazoea matangoza ya mganga toka Sumbawanga, Tanga, Bagamoyo, Usukumani na Nigeria!! kumbe ata Moshi wapo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.