Manstone
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 511
- 310
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi za Serikali, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa (MDA’s na LGA’s), Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT), Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) na Wakala wa Ufundi na Umeme (T EMESA) anatarajia kuendesha usaili na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili.
Tangazo lenye Orodha ya majina kwa wanaoitwa kwenye usaili fungua www.ajira.go.tz
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi za Serikali, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa (MDA’s na LGA’s), Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT), Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) na Wakala wa Ufundi na Umeme (T EMESA) anatarajia kuendesha usaili na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili.
Tangazo lenye Orodha ya majina kwa wanaoitwa kwenye usaili fungua www.ajira.go.tz