tangazo la biashara

kipindupindu

JF-Expert Member
Dec 16, 2010
1,053
170
306314_2013264341307_1534762713_31731464_444529114_n.jpg kwa mawasiliano piga namba 07414290202
 
ninayo sumu ya kifutu...vipi.... mtachukua?
hiyo inatumika sana kama dawa ya magonjwa sugu,yaani unachanganya ratio ya tone moja:ndoo ya lita 20.hii dawa ilikosa soko mwezi wa tatu mpaka wa sita guess what babu wa loliondo alituharibia biashara,lakini kwa sasa soko lake liko juu.nitafutie kama vibuyu sita hivi si unajua mtaji unasumbua kidogo halafu dola imepanda kwelikweli!
 
mimi nauza kutu, 1Kg ni sh 800/=
kutu ya chuma chakavu tunanunua kwa sh 500/kg hata hivyo wengi wanaulizia kutu ya chuma cha MV bukoba au spice ilander kwa sababu zinahusishwa na kuongeza bahati maeneo ya migodini.hii tutachukua kwa bei yoyote tu haina hasara!inatoka sana!!!
 
kutu ya chuma chakavu tunanunua kwa sh 500/kg hata hivyo wengi wanaulizia kutu ya chuma cha MV bukoba au spice ilander kwa sababu zinahusishwa na kuongeza bahati maeneo ya migodini.hii tutachukua kwa bei yoyote tu haina hasara!inatoka sana!!!

hiyo nauza sh 1000 per kilos, na ukitaka ambayo haina siku nyingi kama mv islanders tena ina damu damu nitakupatia haraka.
tuma order yako kupitia mail hii!: nungwi@islanders.znz.tz
 
Back
Top Bottom