kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
sumu ya kobra na black mamba zinahitajika kwa sana tu,lakini nyongo ya mamba ipo kwa wingi kwa hiyo bei yake ni chini kidogonauza sumu....mnanunua?
mbona kimya preta ?unayo ya aina gani,sema kama usafiri ni tatizo tukufuate!nauza sumu....mnanunua?
hiyo inatumika sana kama dawa ya magonjwa sugu,yaani unachanganya ratio ya tone moja:ndoo ya lita 20.hii dawa ilikosa soko mwezi wa tatu mpaka wa sita guess what babu wa loliondo alituharibia biashara,lakini kwa sasa soko lake liko juu.nitafutie kama vibuyu sita hivi si unajua mtaji unasumbua kidogo halafu dola imepanda kwelikweli!ninayo sumu ya kifutu...vipi.... mtachukua?
kutu ya chuma chakavu tunanunua kwa sh 500/kg hata hivyo wengi wanaulizia kutu ya chuma cha MV bukoba au spice ilander kwa sababu zinahusishwa na kuongeza bahati maeneo ya migodini.hii tutachukua kwa bei yoyote tu haina hasara!inatoka sana!!!mimi nauza kutu, 1Kg ni sh 800/=
kuna mahitaji makubwa sana ya viongozi hasa wenye uelewa wa masuala ya nishati na madini.Mie nauza watu vp mtanunua?
Mie nauza watu vp mtanunua?
soma tangazo vizuri!
kutu ya chuma chakavu tunanunua kwa sh 500/kg hata hivyo wengi wanaulizia kutu ya chuma cha MV bukoba au spice ilander kwa sababu zinahusishwa na kuongeza bahati maeneo ya migodini.hii tutachukua kwa bei yoyote tu haina hasara!inatoka sana!!!