MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,038
- 854
Usaili wa taasisi ya udhibiti wa mbegu (tosci) ulipangwa kufanyika tarehe 20/08/2012 na 21/08/2012. Lakini kutokana na uwezekano wa tarehe hizo kuingiliana na sikukuu ya iddi, usaili huo umepangwa kufanyika tarehe 15/08/2012 na 16/08/2012.
Mchujo utafanyika tarehe 15/08/2012 na usaili utafanyika tarehe 16/08/2012
Mchujo utafanyika tarehe 15/08/2012 na usaili utafanyika tarehe 16/08/2012
sekretarieti ya ajira inaomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza.