incognintum
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 236
- 122
Jumapili saa tisa alasiri tarehe 13. 09. 2015 club ya wazee ilala kutakuwa na mkutano wa wafugaji kuku mkoa wa DSM siku ya jumapili kujadili juu ya upandaji wa bei ya chakula cha kuku na madawa ili kuweza kupanga bei elekezi tuweze kufuga kwa faida. Ajenda ni kufahamiana, kujiorodhesha, kupanga bei elekezi, kuweza kuchanga mchango Mdogo kwa matangazo redioni, na mengineyo. KUFIKA KWAKO NDIO MAFANIKIO KWA WAFUGAJI KWA UJUMLA WETU. Asante. Mawasiliano 0713561654