Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
Baragumu limepigwa, chukueni maamuzi wale wote walio na fikra za kimapinduzi ambao mpaka sasa bado mnasita kuamua kutokana na hofu ya kufitiniwa na magamba wakisaidiwa na vyombo vyao vya dola ambapo mwanzo vilikuwa polisi na jeshi, hivi karibuni Mahakama imejiunga rasmi na magamba kwa kufanya maamuzi ambayo kila mtu ameyaona na tutaendelea kuyaona.Muda si mrefu tutaiita mahakama ya magamba ikiongozwa na majaji wa magamba.Tuna subiri maamuzi ya rufaa ya Lema tilithibitishe hili kwa sababu hata kilaza wa sheria ile kesi isinge msumbua. Huko mbeleni itabidi maamuzi yenye mustakabali wa nchi tuyafanye wenyewe kama wenzetu Mali, Guinea Bissau na kwingineko walio thubutu.
Sasa basi James Millya amefungua milango, hapa ndipo tutawajua wana harakati wa ukweli ndani ya magamba. Huwezi kufanya harakati kwa kusafiri na meli inayozama. Nadhani Mh.Deo Filikunjombe na Mh.Samuel Sitta mnanielewa. Mnacho kifanya mkiwa ndani ya magamba ni kiini macho, hatuwaelewi. Mnataka kutuambia kuwa kwa kelele zenu mnaweza kubadili sera mbovu kuwa nzuri na za matumaini? mafisadi washughulikiwe inakuwa kama vile wajishughulikie wenyewe kwa sababu fuvu tupu au kichwa cha nazi kilichoko magogoni ni tape root/ fisadi papa. Hivyo basi angalau mfanye hivyo mkiwa kwingine siyo lazima iwe CDM ili tuwaone kweli mko serious.
Hamuwezi kushinda vita yenu mkiwa na raisi yule yule(kichwa cha nazi), mawaziri wale wale vichwa vya nazi, na wabunge kibao wa magamba vichwa vya nazi. Hapa namtaja mmoja wengine mtamalizia; Livingstone(now dead stone) Lusinde.
Kuna vijana ambao bado wana safari ndefu katika midani za siasa kama vile Nape, January Makamba na wengine lakini bado hawaoni kuwa CCM inakufa hata wazee wao wametabiri. Leo jamvini kuna mtu ame post thread inasema Nape ni kama waziri wa zamani wa Iraq. Jamaa alikuwa bingwa wa propaganda akisema "wamarekani tunawapiga na tutashinda vita", nadhani mwisho wake sote tunaujua. Kumbukeni Nape alisema "Arumeru tutashinda kwa kishindo" yuko wapi? Yaani ukiangalia unaona future yao katika siasa ni vague au uncertain. Ndiyo maana kuna mtu humu jamvini alisema "unahitaji kuwa na akili ya maiti kuishabikia sisiemu, huu ni ukweli usio pingika".
Sasa basi James Millya amefungua milango, hapa ndipo tutawajua wana harakati wa ukweli ndani ya magamba. Huwezi kufanya harakati kwa kusafiri na meli inayozama. Nadhani Mh.Deo Filikunjombe na Mh.Samuel Sitta mnanielewa. Mnacho kifanya mkiwa ndani ya magamba ni kiini macho, hatuwaelewi. Mnataka kutuambia kuwa kwa kelele zenu mnaweza kubadili sera mbovu kuwa nzuri na za matumaini? mafisadi washughulikiwe inakuwa kama vile wajishughulikie wenyewe kwa sababu fuvu tupu au kichwa cha nazi kilichoko magogoni ni tape root/ fisadi papa. Hivyo basi angalau mfanye hivyo mkiwa kwingine siyo lazima iwe CDM ili tuwaone kweli mko serious.
Hamuwezi kushinda vita yenu mkiwa na raisi yule yule(kichwa cha nazi), mawaziri wale wale vichwa vya nazi, na wabunge kibao wa magamba vichwa vya nazi. Hapa namtaja mmoja wengine mtamalizia; Livingstone(now dead stone) Lusinde.
Kuna vijana ambao bado wana safari ndefu katika midani za siasa kama vile Nape, January Makamba na wengine lakini bado hawaoni kuwa CCM inakufa hata wazee wao wametabiri. Leo jamvini kuna mtu ame post thread inasema Nape ni kama waziri wa zamani wa Iraq. Jamaa alikuwa bingwa wa propaganda akisema "wamarekani tunawapiga na tutashinda vita", nadhani mwisho wake sote tunaujua. Kumbukeni Nape alisema "Arumeru tutashinda kwa kishindo" yuko wapi? Yaani ukiangalia unaona future yao katika siasa ni vague au uncertain. Ndiyo maana kuna mtu humu jamvini alisema "unahitaji kuwa na akili ya maiti kuishabikia sisiemu, huu ni ukweli usio pingika".