Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,815
- 4,861
kuna tangazo la maralia linarushwa na vituo mbalimbali vya TV, lengo ni kuhamasisha watanzania kutumia vyandarua. lakini kwa nini wameweka hili tangazo kwa kingereza kwa nini wasitumie kiswahili ili lieleweke vizuri na watu wote na si wasomi tu wanaojua kingereza.
Au kwa sababu pesa za kutoa tangazo zimetoka kwa wafadhili wameshinikiza watumie lugha yao, mi naona ni upuuzi bora wasingetoa hilo tangazo kwa sababu watu wengi wasio na elimu ndio hawajui umuhimu wa kutumia vyandarua, na ndio hao hawaelewi pia hili tangazo. Tanzania yangu inanikela saa nyingine jamani
Au kwa sababu pesa za kutoa tangazo zimetoka kwa wafadhili wameshinikiza watumie lugha yao, mi naona ni upuuzi bora wasingetoa hilo tangazo kwa sababu watu wengi wasio na elimu ndio hawajui umuhimu wa kutumia vyandarua, na ndio hao hawaelewi pia hili tangazo. Tanzania yangu inanikela saa nyingine jamani