William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Wakulu wote JF, na wananchi wenzangu wote mnaoishi US na hata nje, na hasa New York City na vitongoji vyake,
- Nina furaha kuwafahamisha kwamba kwa niaba ya Balozi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa, New York USA, Ofisi ya ubalozi wetu NY, imeniomba kuwafikishia ujumbe huu rasmi kuhusu bash zito la kuchoma nyama liltakalofanyika nyumbani kwa balozi, siku ya tarehe 15/8/2009 yaani Jumamosi ya mwisho wa wiki hii, ikiwa ni kufuatia ahadi iliyotolewa na Balozi mwenyewe kwenye ile Bash ya mwisho kule Wilson Woods Park.
- Kwa kifupi ni kwamba:-
1. The bash itafanyika:- Tarehe 15/8/2009, siku ya Jumamosi.
2. Kuanzia Saa Nane Mchana na kuendelea, yaani From 2.00PM.
3. Kutakuwa na nyama za kuchoma, kuku, mpaka nyama ya mbuzi, na pia kutakua na vinywaji kwa wingi sana.
4. Wananchi wote mnaalikwa na kukaribishwa na ni kwa wakubwa na watoto, wa umri wowote ule.
5. Baada ya kuchoma nyama kama kawaida kwa kushirikiana na Ma DJ's Mao & Freddy, ninawakaribisha wananchi wote kuelekea Alamo Club, 166 Gramatan Avenue, Mount Vernon NY 10552,
- Ambako tutakuwa na muziki wa Disco, mpaka asubuhi na pia kiingilo kitakuwa ni bure kwa kila mwananchi atakayejitokeza. This time ninategemea tutakuwa na shindano la kutafuta bingwa wa "Ndombolo ya solo", na Bingwa wa "Muziki wa Duara" yaani Taarabu iliyokwenda shule.
6. Anuani ya kufika Nyumbani kwa Balozi kwenye Bash ni:-
30 Overhill Road
MT. Vernon, NY 10552
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa simu na:-
1. Tanzania Embassy (NY):- 1-212-972-9160,
au
2. Mukulu William Malecela Cell #1-914-473-1033.
Ahsanteni wakuu na See You there na kama kuna marekebisho zaidi tutafahamishana.
William Malecela - CO (Community Organizer).
- Nina furaha kuwafahamisha kwamba kwa niaba ya Balozi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa, New York USA, Ofisi ya ubalozi wetu NY, imeniomba kuwafikishia ujumbe huu rasmi kuhusu bash zito la kuchoma nyama liltakalofanyika nyumbani kwa balozi, siku ya tarehe 15/8/2009 yaani Jumamosi ya mwisho wa wiki hii, ikiwa ni kufuatia ahadi iliyotolewa na Balozi mwenyewe kwenye ile Bash ya mwisho kule Wilson Woods Park.
- Kwa kifupi ni kwamba:-
1. The bash itafanyika:- Tarehe 15/8/2009, siku ya Jumamosi.
2. Kuanzia Saa Nane Mchana na kuendelea, yaani From 2.00PM.
3. Kutakuwa na nyama za kuchoma, kuku, mpaka nyama ya mbuzi, na pia kutakua na vinywaji kwa wingi sana.
4. Wananchi wote mnaalikwa na kukaribishwa na ni kwa wakubwa na watoto, wa umri wowote ule.
5. Baada ya kuchoma nyama kama kawaida kwa kushirikiana na Ma DJ's Mao & Freddy, ninawakaribisha wananchi wote kuelekea Alamo Club, 166 Gramatan Avenue, Mount Vernon NY 10552,
- Ambako tutakuwa na muziki wa Disco, mpaka asubuhi na pia kiingilo kitakuwa ni bure kwa kila mwananchi atakayejitokeza. This time ninategemea tutakuwa na shindano la kutafuta bingwa wa "Ndombolo ya solo", na Bingwa wa "Muziki wa Duara" yaani Taarabu iliyokwenda shule.
6. Anuani ya kufika Nyumbani kwa Balozi kwenye Bash ni:-
30 Overhill Road
MT. Vernon, NY 10552
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa simu na:-
1. Tanzania Embassy (NY):- 1-212-972-9160,
au
2. Mukulu William Malecela Cell #1-914-473-1033.
Ahsanteni wakuu na See You there na kama kuna marekebisho zaidi tutafahamishana.
William Malecela - CO (Community Organizer).