Junius,10/10/1963 ndo tarehe, mwezi na mwaka wazanzibari walipotoka karika minyororo ya dhulma za wakoloni wa Uingereza(slave traders, colonialists,imperialists,neo colonialists etc)
Thanks. Nilikuwa namsahihisha Mlenge aliyesema Zanzibar ilipata uhuru kabla ya Tanganyika.