Ssi wakazi wa kijiji cha kichangani kata ya maweni wilaya ya Tanga mwenyekiti wa kijiji amepoteza sifa za uongozi kwa kushindwa kuitisha ya kawaida toka aingie madarakani mwaka 2009
Tunaomba wanaohusika watusaidie kuondoa kero hii kwani Afisa mtendaji wa kijiji na Mkurugenzi wa Halmashauri wako kimya japo taarifa hizo wanazifahamu
Tunaomba wanaohusika watusaidie kuondoa kero hii kwani Afisa mtendaji wa kijiji na Mkurugenzi wa Halmashauri wako kimya japo taarifa hizo wanazifahamu