Tanga mwenyekiti wa kijiji kapoteza sifa

colyvas

Member
Feb 23, 2012
11
0
Ssi wakazi wa kijiji cha kichangani kata ya maweni wilaya ya Tanga mwenyekiti wa kijiji amepoteza sifa za uongozi kwa kushindwa kuitisha ya kawaida toka aingie madarakani mwaka 2009
Tunaomba wanaohusika watusaidie kuondoa kero hii kwani Afisa mtendaji wa kijiji na Mkurugenzi wa Halmashauri wako kimya japo taarifa hizo wanazifahamu
 
Ssi wakazi wa kijiji cha kichangani kata ya maweni wilaya ya Tanga mwenyekiti wa kijiji amepoteza sifa za uongozi kwa kushindwa kuitisha ya kawaida toka aingie madarakani mwaka 2009
Tunaomba wanaohusika watusaidie kuondoa kero hii kwani Afisa mtendaji wa kijiji na Mkurugenzi wa Halmashauri wako kimya japo taarifa hizo wanazifahamu

Tumieni nguvu ya umma,nendeni polisi ombeni kibali cha kufanya maandamano ya amani,kama mnaogopa mioneni makamanda wa CDM HAPO Ofisini watawasaidia kuratibu suala hilo.VINGINEVYO TANGA KUNANI?WENYEVITI WA VIJI NAO WASHAKUWA KERO?WATU KEROOOO KEROOO! Baba yetu Makamba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom