MDIGGO WA AR
New Member
- Mar 6, 2012
- 3
- 0
nimeambiwa niongeze nyingine 15
nimeambiwa niongeze nyingine 15
Karibu sana ukumbini ndugu,
Baikoko tunaipatia wapi sasa? Kwa Minchi au pale Mwembe Mawazo??
Babu DC!!!
...nini izo?
hawa jamaa wanaongea kiswahili kigumu sana.
nimeambiwa niongeze nyingine 15
Haswaaa!
Ukisikia Kwa Minchi, Kisosora, Kange, Mapana, Mabawa, Raskazone, Sabasaba, Sahare, Mikanjuni etc, ujua hapo waenda leo na kurudi leo. Wanajuana wenyewe hao
Hizo ni zenu,Mwamböni,magaoni,mabawa,donge,mwakizaro,mwakidila,mwahako,masiwani,chumbageni,chuda,....nk nk nk..,
Kwa manyanya!!!ndo kinondoni yenyewe hiyo....vitongoji!mpewani,home alone vijana,kota,wibu,sekenke,togo mpaka american chips!!!!Hizo ni zenu,
Sie zetu ni;
komakoma, kwa manjunju, kwa kopa, kwa manyanya, alimaua, kwa mtogole, kwa tumbo, kwa Bi. Nyau, kwa mama zakaria, n.k