Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Ha haa haaa kumbe mimi mkweo, karibu Chumbageni ndugu
Ha haa haaa kumbe mimi mkweo, karibu Chumbageni ndugu
Huyu yaonekana hata familia kaisahau...
nimependa mambo mawili kwenye hii reply yakoWewe mdogo wangu mshana jr, acha utani bwana...sasa hapo wazee wanafanya nini??? je, nikisema huyo mwingine anaangalia kama mwenzake ana chawa nitakuwa nimekosea???tehtehtehtehteh
nimependa mambo mawili kwenye hii reply yako
1.chawa kichwani
2. Mimi kuwa mkubwa kuliko wewe
Hakuna limbwata ni mapenzi tu.Hilo limbwata la kilo ngapi?
Aaaaghhh hayo mapenzi hayo hapana. Biashara ya saluni si itakosa soko jamani!!!!!Hakuna limbwata ni mapenzi tu.
hawa ndio wanawafungia ndani wanaume??Siku hii sitaisahau bora ukutane na simba porini kuliko hawa...
hawa ndio wanawafungia ndani wanaume??
bhaaahh!!huomji utakuwa na washirikina sio siri naskia kwenda bafuni unawekwa mgongoni,hukobafuni unakuta kigoda na kisosi cha kikombe cha chai!!sasa hilo bafu au chuo cha mapishi..Tanga nipokee najaSasa ndugu....mkuu katika harakati kama hizo utatokaje ndani..!!??
mie mwenyewe nashangaa,sasa kwa mambo haya vitimaalumu Tanga kwanini wasiwe wanaume
bhaaahh!!huomji utakuwa na washirikina sio siri naskia kwenda bafuni unawekwa mgongoni,hukobafuni unakuta kigoda na kisosi cha kikombe cha chai!!sasa hilo bafu au chuo cha mapishi..Tanga nipokee naja