KEDIAY-MANGUSHA
Member
- Jun 26, 2011
- 13
- 2
Basi leo usiku umeme wamekata. Muda wa kula hakuna taa, ikabidi tutumie kibatari. Sister akawa ameshika kibatari kama vile anakibusu wakati tunasali(kubariki chakula) kumbe amevaa kofia bwana. Katikati ya sala dogo akapiga makelele 'dada unaunguaaaaa kofia aaa.watu wote tukafumbua macho kwa mshtuko, hata aliyekuwa anasalisha sala. Yaani huwezi amini kofia imeunguzwa na kibatari bwana.
Shukrani kwa tanesko.
Shukrani kwa tanesko.