Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 628
- 93
Wana Jf nikama hawa jamaa wa Tanesco wameanza mgao wakimyamya!Hii nikutokana namakatizo yaumeme yanayoendelea maeneo hasa huku kimara nimesikia kigamboni wanapiga mayowe pia sijui nanyi wana Jf wenzangu huko mliko hali ikoje?Sasa naamini shirika limenyweshwa Gongo!Linayumba....!Sijui niwale wasouth?(NET GROUP!)