Amateur
Member
- Apr 18, 2011
- 34
- 5
Hivi jana tu TANESCO walitangazo mgao umekwisha! Leo huku Mwenge kwenye saa kumi na moja wamekata umeme sisi tuwaeleweji. Mimi nachoka kabisa! Kinachonimaliza ni kwamba ukiwapigia emergency 2700367 (Mikocheni) iko busy au wameiweza pembeni. Mimi nina TTCL kwahiyo najua kabisa message inayokupa wakati iko busy kiukweli au ikiwa imewekwa tu pembeni na mara nyingi wameiweka tu pembeni. This is not fair. Information is power. Watuambie tu tatizo ni nini na itachukua muda gani, kuliko kuweka simu pembeni! Afadhali hata ukijua kwamba ni mgao unaendelea kuliko kukaa in anticipation not knowing what is going on. I hate TANESCO I am really pissed off right now!!!!