zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
...Wewe umefanya nini?
Nimewaleta Dowans
...Wewe umefanya nini?
Nimewaleta Dowans
no dowans, not bowing down!
Wakisha-resign ndio umeme utapatikana?
Mie nauliza, je, tunaweza kufanya mgomo baridi wa kuinyima TANESCO mapato, kwa kupunguza - kwa lazima - matumizi ya umeme, kwa sisi wateja wa LUKU? Kwa mfano, wanapoturejeshea umeme, tunaongeza 2 hours za mgomo, juu ya hizo 4 hours zao wanazosema, kwa hiyo jumla tunaongeza 4 hours, 2 hours asubuhi na 2 hours mchana, for a total of 12 hours kwa siku! Je, inawezekana? Tuone nini kitafanyika?
Mimi najua kwamba hii power crisis ni artificial, na hapa kuna njama za kutaka kununua hiyo mitambo ya umeme ili hao mafisadi wapate 20 percent zao! Sasa nini kifanyike tuwaoneshe kwamba tumechukizwa na ufisadi huo? Can we BOYCOTT TANESCO?
Mabya zaidi, inaelekea hajifunzi lolote katika huko kutalii kwake!
.....Hatuna serikali. Ni majambawazi tu yamekalia viti vya enzi yakitaka sifa yasizostahili.
...Leo wanataka mnunue Dowans.. ili wawape umeme kesho watataka mfanye nini? !!
NO DOWANS, NOT BOWING DOWN!
...wizi mtupu
kama wamesema ni saa nne ktk siku ya mgao in real sense piga hesabu ya 4 x 4 - 24 utapata 8 ambapo mtakuwa mnapata umeme kwa saa 8 kwa siku.
Si mlikataa kuwa dowans isinunuliwe? safari hii mtaandamana kwa shinikizo kwamba inunuliwe.
Nchi hii kwa uzalendo wa kifisadi naivulia kofia.
.....Hatuna serikali. Ni majambawazi tu yamekalia viti vya enzi yakitaka sifa yasizostahili.
Songas wamesema wana uwezo wa kununua mitambo mipya, si waombwe walete hiyo mitambo haraka? Umeme ni muhimu mno kwenye uzalishaji, kukatwa umeme masaa nane tena kwa Dar, nchi itapata hasara kiasi gani?
Ethiopia wanajenga Dam la USD 1.7 Billion by 2011 litakamilika na watazalisha over 2500 Megawats na ingine wataexport to Kenya! Wamekataa katakata kuwasikiliza WB na IMF inaonekana wamepata mkopo toka China!
Sudan nao pia wamefungua Bwawa kubwa sasa juzi kwa mkopo toka China!
Yet sisi bado tunazungumzia kununua Dowans ya Magawats sijui 50!!!!
Hivi Watanzania tutaamka lini???
Mradi Mkubwa wa Umeme utaanza lini?
Ethiopia wanajenga Dam la USD 1.7 Billion by 2011 litakamilika na watazalisha over 2500 Megawats na ingine wataexport to Kenya! Wamekataa katakata kuwasikiliza WB na IMF inaonekana wamepata mkopo toka China!
Sudan nao pia wamefungua Bwawa kubwa sasa juzi kwa mkopo toka China!
Yet sisi bado tunazungumzia kununua Dowans ya Magawats sijui 50!!!!
Hizi Watanzania tutaamka lini???
Mradi Mkubwa wa Umeme utaanza lini?
hakuta kuwa na hasara yoyote ile, kwa Tanzania wanaotumia umeme nchi nzima ni aslimia 10 tu!!