wrong...
- kabla ya bei ungeangalia efficiency ya shirika
- ungeangali procurement function ya tanesco halafu uniambie
- ungeangali na kutafakari kama lile shirika lingekua binafsi kama wangefeli
- ungejaribu kujifunza infuence ya government na hasa vilele vitoto viwili (viwaziri) kwenye kurudisha nyuma tanesco
- ungecheki admin approach
- ungeangalia possibility ya decentralization
- ungehoji kwa nini tanesco ina siasa sana na kila kiongozi ana kamdomo pale wakati maji wali-decentralize
Ukimaliza ndo uje na hilo lako la bei
nyie ndio unidirectional ambao unadhani dawa ya joto ni kuvua shati tu
Nini kufilisika bora ife kabisa tuanze moja maana Hili Litanesco sioni hata faida yake umeme wenyewe mgao kila kukicha..aaggrrrr