TANESCO, Wizara ya Nishati zachunguzwa na PPRA

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma PPRA imeanza kufanyia uchunguzi mchakato wa zabuni wa kununua mafuta mazito uliosababisha mvutano kati ya TANESCO na wizara ya Nishati na Madini.

PPRA itachunguza mchakato uliotumiwa na wizara ya nishati na madini kuipatia kampuni ya PUMA zabuni ya kusambaza mafuta mazito wakati mchakato wa zabuni hiyo ulikwisha kamilika.

Lakini PPRA pia itachunguza utaratibu uliotumiwa na TANESCO kuipatia zabuni kampuni ya Oryx.Afisa mmoja wa PPRA amesema wizara nayo lazima ichunguzwe ni kwanini ilikubali kuipa zabuni kampuni ya PUMA nje ya taratibu zilizoanishwa kisheria.Afisa huyo alisema kuwa ktk swala la zabuni kuna taratibu na wao PPRA kinachowafanya waichunguze wizara ni kutaka kuona huyu mzabuni(PUMA) aliyekuja nyuma kushawishi ni taratibu gani zilitumika kumpa zabuni.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya mamlaka hiyo vinatilia shaka uadilifu wa kampuni hiyo ya PUMA ambayo seriali ina ubia kutokana na hatua yake ya awali kugoma kuuza mafuta kwa bei ambayo iliwekwa na serikali.

Source:Gazeti la habari leo la tarehe 06/08/2012.
 
hana jipya hapo! La msingi ni kufukuza CCM madarakani. tutachunguza sana!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma PPRA imeanza kufanyia uchunguzi mchakato wa zabuni wa kununua mafuta mazito uliosababisha mvutano kati ya TANESCO na wizara ya Nishati na Madini.

PPRA itachunguza mchakato uliotumiwa na wizara ya nishati na madini kuipatia kampuni ya PUMA zabuni ya kusambaza mafuta mazito wakati mchakato wa zabuni hiyo ulikwisha kamilika.

Lakini PPRA pia itachunguza utaratibu uliotumiwa na TANESCO kuipatia zabuni kampuni ya Oryx.Afisa mmoja wa PPRA amesema wizara nayo lazima ichunguzwe ni kwanini ilikubali kuipa zabuni kampuni ya PUMA nje ya taratibu zilizoanishwa kisheria.Afisa huyo alisema kuwa ktk swala la zabuni kuna taratibu na wao PPRA kinachowafanya waichunguze wizara ni kutaka kuona huyu mzabuni(PUMA) aliyekuja nyuma kushawishi ni taratibu gani zilitumika kumpa zabuni.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya mamlaka hiyo vinatilia shaka uadilifu wa kampuni hiyo ya PUMA ambayo seriali ina ubia kutokana na hatua yake ya awali kugoma kuuza mafuta kwa bei ambayo iliwekwa na serikali.

Source:Gazeti la habari leo la tarehe 06/08/2012.

Hao PPRA walikuwa wapi kuichunguza TANESCO wakati Umeme unakatika katika bila sababu za kuridhisha yaani

Wanasubiri mpaka wanapewa Mwelekeo wapi pa kwenda? Sasa hapo si kubeba Per DM za kuiba? sababu BUNGE

Wanafanya Uchunguzi; Takuhuru wanafanya Uchunguzi; CAG wanauchunguzi; Tanesco Wanauchuguzi wa Ndani

POLISI wanafanya Uchunguzi... Sasa na Hao PPRA ... HUU NI ULAJI WA STYLE... PER DM's...

NI KUFILISI TANGANYIKA... WOTE HAO MATUMBO MAKUBWA...
 

Hao PPRA walikuwa wapi kuichunguza TANESCO wakati Umeme unakatika katika bila sababu za kuridhisha yaani

Wanasubiri mpaka wanapewa Mwelekeo wapi pa kwenda? Sasa hapo si kubeba Per DM za kuiba? sababu BUNGE

Wanafanya Uchunguzi; Takuhuru wanafanya Uchunguzi; CAG wanauchunguzi; Tanesco Wanauchuguzi wa Ndani

POLISI wanafanya Uchunguzi... Sasa na Hao PPRA ... HUU NI ULAJI WA STYLE... PER DM's...

NI KUFILISI TANGANYIKA... WOTE HAO MATUMBO MAKUBWA...

Sina imani kabisa na uchunguzi wa bunge kwenye hili sakata.Lile bunge liko kisiasa zaidi na linaweza kupotosha ukweli kulinda watu wachache.Jiulize ile taarifa ya kamati ya bunge ya huduma za jamii kuhusu mgomo wa madaktari imeishia wapi?
 
Sina imani kabisa na uchunguzi wa bunge kwenye hili sakata.Lile bunge liko kisiasa zaidi na linaweza kupotosha ukweli kulinda watu wachache.Jiulize ile taarifa ya kamati ya bunge ya huduma za jamii kuhusu mgomo wa madaktari imeishia wapi?

Hivyo Vyombo Vyote Vya Uchunguzi havifai kama waka serious walete Interpol... Itasema Ukweli Kabisaaa
 
Back
Top Bottom