snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
kampuni ya ugavi wa umeme tanzania TANESCO,wametangaza rasmi kununua mitambo maalum ya kukatia umeme,kwani mgao haukatiki sehemu zingine kama jeshini,hospitalini na idara nyeti za serikali,mitambo hiyo hahah haha haha kumbe mnapenda eeeeeh?mtauchora huo mtambo hapo chini ili umeme urudi,,,,sasa hivi ni mgao wa giza sio wa umeme tena,,,,mtafurahi,,,,ndo tanzania hii....maisha bora kwa wauza mishumaa