tanesco wanunua mitambo mipya

snochet

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
1,407
1,110
kampuni ya ugavi wa umeme tanzania TANESCO,wametangaza rasmi kununua mitambo maalum ya kukatia umeme,kwani mgao haukatiki sehemu zingine kama jeshini,hospitalini na idara nyeti za serikali,mitambo hiyo hahah haha haha kumbe mnapenda eeeeeh?mtauchora huo mtambo hapo chini ili umeme urudi,,,,sasa hivi ni mgao wa giza sio wa umeme tena,,,,mtafurahi,,,,ndo tanzania hii....maisha bora kwa wauza mishumaa
 
people i'm just having a nyc weekend,nawazingua tu
 
Badala ya Kuendeleza vyanzo vya kuzalisha umeme wao kazi ni kununua majenereta, Nchi zilizoendelea wanatumia Majenereta kama backup sasa nashangaa tanzania tunatumia Majenereta wakati vyanzo vya kuzalisha umeme vipo Kibao.

Tanzania tuna Rasilimali nyingi mno kiasi cha kutufanya tusiwe Ombaomba kama anavyotuaibisha ***** 1 pale magogoni
 
Back
Top Bottom