Greek
Member
- Nov 8, 2010
- 68
- 1
Gharama wote tunalipia sawa unit tunanunua kwa bei moja, iweje maeneo mengine wapewe umeme muda mwingi kuliko sisi wakazi wa Temeke??? umeme wanakata saa 2 asubuhi na kurudisha saa 6 hadi 7 usiku kwanini lakini? au kwa kuwa wakazi wengi wa huku hasa mbagala ni watu wa hali ya chini Hatujuani na watu wakubwa na waserikalini? Inauma sanaa. I hate u bloody ccm government.