tokea mheshimiwa amengaza kwenye vyombo vya habari kuwa aggreco wameingiza 100MW na vina vya maji kwenye mabawa ya kuzalisha umeme iko poa hapa mjini mwanza naona mgao ndio umeimarika maradufu. sidhani kama kuna haja tena ya kuita waandishi wa habari wanatutia hasira, wakae kimya wafanye mambo kimya we are too tired now with poor politics on actual issue. tumechokaaaaaaaa.....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.