mimi ni mdau wa Tigo siku ya tarehe 3.1.2012 nimetuma pesa Tigo kutoka kwenye A/C yangu 20.000. kwaajili yakununua LUKU wakanitumi ujumbe MUHAMALA WAKO UNA SHUHULIKIWA.. chaajabu mpaka hi leo 5.2.2012 sijapata umeme nimeisha enda Tigo pale Mliman City mala 2 na nimeenda pale Msimbazi Branch jibu wanajibu tume waumia email Tanesco hawajajibu sasa wana Nchi hu si wizi wa kimacho macho ivyo ni nani tu mwamini???? nomba MAONI YENU WADAU WA JF..na Wa Tanzania kwa jumla mimi ni MJASILIA MALI...