Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,371
- 17,139
Wadau naleta kwenu hiyo sheria ambayo Tanesco wameitunga ya kuuza mali na nyumba za wateja wenye madeni......sidhani kama ni sawa na kama inaendana na katiba ya nchi!na vipi kama anaedaiwa ni mpangaji tu?hii sio sheria dhalimu na kukurupuka kama wale SSRA?