Novatus
JF-Expert Member
- Jul 28, 2007
- 330
- 37
Nimekuwa nikerwa na Tanesco kwa kitendo chao cha kukata umeme bila taarifa.
hii inahusisha wakati wamepanga matengenezo hivyo sio dharula. Ni mara nyingi tunaaribikiwa na vitu lakini naona hakuna sheria ya kutulinda.
Hivi wana JF nawezaje kupata haki hii?
hii inahusisha wakati wamepanga matengenezo hivyo sio dharula. Ni mara nyingi tunaaribikiwa na vitu lakini naona hakuna sheria ya kutulinda.
Hivi wana JF nawezaje kupata haki hii?