haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
Naomba kuwaasa Tanesco kuleni haraka kwani dawa yaja
Angalieni TTCL nguzo ilikuwa ikidondoka wanakusema na hawairudishi mapema
Leo wanacholeta wananchi wanakikataa kwanini hamuoni?
Je mwasubiri muambiwe nini? Gharama za kuunganisha juu na hata mtu akilipa mbona hamfungi hizo waya?
Je mwaona watu wote mazuzu hadi watoe kitu kidogo?
Je mna ubavu wa kuhimili ushindani kama shirika lingine likianza kazi?
Je hamjui kuwa watu wengi wamechoshwa na wanataka watu wengine wa kutoa umeme?
Kaeni mkijua kuwa mtadondokea pua siku itakapofika? na kwasasa kuweni miungu watu na hata mkiamua kuzima mchana kutwa zimeni lakini dawa yenu iko jikoni. Naomba mlale sana na msiamke maana nanyi mmelewa fedha haramu za wanyong'e na mnaelea katika damu zao.
"HAKUNA CHA MKURUGENZI WALA SECRETARY WOTE LENU MOJA NYONYENI SANA DAWA YAJA NA WENGINE MTAKUFA KWA PRESA ANDIKENI WOSIA MAPEMA"kwani hamtaamini atakapopatikana mbadala wenu na nyie kukosa watu na hakika waya zetu zitauzwa kutundikia nguo na kujengea.
Angalieni TTCL nguzo ilikuwa ikidondoka wanakusema na hawairudishi mapema
Leo wanacholeta wananchi wanakikataa kwanini hamuoni?
Je mwasubiri muambiwe nini? Gharama za kuunganisha juu na hata mtu akilipa mbona hamfungi hizo waya?
Je mwaona watu wote mazuzu hadi watoe kitu kidogo?
Je mna ubavu wa kuhimili ushindani kama shirika lingine likianza kazi?
Je hamjui kuwa watu wengi wamechoshwa na wanataka watu wengine wa kutoa umeme?
Kaeni mkijua kuwa mtadondokea pua siku itakapofika? na kwasasa kuweni miungu watu na hata mkiamua kuzima mchana kutwa zimeni lakini dawa yenu iko jikoni. Naomba mlale sana na msiamke maana nanyi mmelewa fedha haramu za wanyong'e na mnaelea katika damu zao.
"HAKUNA CHA MKURUGENZI WALA SECRETARY WOTE LENU MOJA NYONYENI SANA DAWA YAJA NA WENGINE MTAKUFA KWA PRESA ANDIKENI WOSIA MAPEMA"kwani hamtaamini atakapopatikana mbadala wenu na nyie kukosa watu na hakika waya zetu zitauzwa kutundikia nguo na kujengea.