Tanesco mtatumaliza hivi

Juzi nilitoa maoni tanesco wanavyokata kodi nilienda kununua umeme wa elfu 30 walikata kodi karibu elfu 6'leo nimenunua wamenikata vat ya sh 13000 nilitoa elfu 70'sijui kama tutaweza kuishi mambo yenyewe hv

kaka huu ni mwaka wa kifo hiyo bili niliyoipokea mimi mpaka niliogopa, maana nilikuwa nalipa elfu 90, ila nimepokea bili tarehe 15 january imepanda mpaka 130,000/- kwa mwezi..nilisikia hasira lkn ntafanya nn ukilalamika tanesco wanakwambia tutakukatia umeme.this is hell..nchi hii tumelala sana hatuna umoja kabisa mambo kama haya ni ya kupinga kwa nguvu zote, ukombozi hauji ukiwa umelala,,lazima kupigana ili uweze kujikomboa...sijui lini tutafika..
 
Hawa Jamaa Tanesco wezi kabisa sasa inabiidi tununue kwa kutumia Simu zetu nafikiri hakuna makato kama hayo.
 
Ukitoa 30,000
VAT(18%) (5,400)
EWURA(4%) (1,200)
MANISAPAA(2.5%) (750) (7,350)
ALBAKI 22,650
UNAPATA UNITS(@159/=) 142

Hivi base ya kukototoa hayo mahesabu ni ipi? Huwezi kuanza na shs 30,000 ulizotoa halafu uweke VAT ya 18% uitoe tena kwenye shs 30,000. Nadhani hayo ni makosa. Mfano rahisi, kama ni VAT tu ndio inakatwa, ukitoa shs 30,000, pesa za kulipia umeme ni Shs 25,423.73 VAT yake ikiwa 18% ambayo ni shs 4,576.27, jumla shs 30,000, na sio shs 30,000 toa shs 5,400 unabakiwa na shs 24,600 tu ambazo ni kidogo zaidi. Nadhani mahesabu yangekuwa kama ifuatavyo:

Pesa ya Umeme = Shs 24,096.39 ( tofauti na shs 22,650)
VAT (18%) 4,337.34
EWURA (4%) 963.85
Manispaa (2.5%) 602.42
Jumla 30,000.00

Nime-assume kuwa hizi rates sio compounded.
 
Kwa kifupi mahesabu yanaweza kuwa kama hivi
KAMA UNANUNUA UMEME KWA KUTOA SHS. 70,000.00
X + (18%VAT + 1%EWURA + 3%REA)X = 70,000.00
NOTE: Hapo sijaweka SERVICE CHARGE

X + (0.18+0.01+0.03) X = 70,000.00
X + 0.22X = 70,000.00
X = 70,000.00/1.22
X = Shs. 57,377.05
Kwa hiyo Kodi ambayo ni 22% (VAT+EWURA+REA) ni kama Shs. 12,622.95, kumbuka sijaweka SERVICE CHARGE.

KAMA UNANUNUA UMEME KWA KUTOA SHS.30,000.00
X = 30,000.00/1.22
X = Shs. 24,590.16
Kwa hiyo Kodi ambayo ni 22% (VAT+EWURA+REA) ni kama Shs. 5,409.84, kumbuka sijaweka SERVICE CHARGE.
 
Kwa kifupi mahesabu yanaweza kuwa kama hivi
KAMA UNANUNUA UMEME KWA KUTOA SHS. 70,000.00
X + (18%VAT + 1%EWURA + 3%REA)X = 70,000.00
NOTE: Hapo sijaweka SERVICE CHARGE

X + (0.18+0.01+0.03) X = 70,000.00
X + 0.22X = 70,000.00
X = 70,000.00/1.22
X = Shs. 57,377.05
Kwa hiyo Kodi ambayo ni 22% (VAT+EWURA+REA) ni kama Shs. 12,622.95, kumbuka sijaweka SERVICE CHARGE.

KAMA UNANUNUA UMEME KWA KUTOA SHS.30,000.00
X = 30,000.00/1.22
X = Shs. 24,590.16
Kwa hiyo Kodi ambayo ni 22% (VAT+EWURA+REA) ni kama Shs. 5,409.84, kumbuka sijaweka SERVICE CHARGE.

Naelewa kuwa ya kwako ni sahihi kwa vile VAT inapaswa kuwainclusive...TANESCO hawafanyi hivyo
 
Naelewa kuwa ya kwako ni sahihi kwa vile VAT inapaswa kuwainclusive...TANESCO hawafanyi hivyo

Sijakuelewa. Ebu cheki hii

HII NI YA KIPINDI CHA NYUMA (VAT ilikuwa 20% na EWURA 1%)

KALIPA SHS. 10,000.00,
Kwenye shs. 10,000.00 imekatwa shs. 2,786.63 kama FIXED COSTS COLLECTED ikiwemo 20%VAT na 1%EWURA ikabakia 7,213.37
X + (0.20+0.01) X = 7,213.37
X + 0.21X = 7,213.37
X = 7,213.37/1.21
X = Shs. 5,961.46
21% (VAT+EWURA) = 7,213.37 – 5,961.46
Kwa hiyo Kodi 21% (VAT+EWURA) ni Shs. 1,251.91


 

Attachments

  • New Picture.png
    New Picture.png
    164.9 KB · Views: 16
Ukitoa 30,000
VAT(18%) (5,400)
EWURA(4%) (1,200)
MANISAPAA(2.5%) (750) (7,350)
ALBAKI 22,650
UNAPATA UNITS(@159/=) 142

Kwa nini hao EWURA na manispaa wasilipwe ndani ya hiyo VAT? Ni wananchi gani waliwahi kukaa na kukubaliana kwamba ianzishwe EWURA?
 
Tatizo hapa si tanesco janami...mwanao akiwa mjinga mjinga kwa asilimia kubwa familia itakua imechangia.....Tanesco imeingizwa mkenge na Sirikali
 
kaka huu ni mwaka wa kifo hiyo bili niliyoipokea mimi mpaka niliogopa, maana nilikuwa nalipa elfu 90, ila nimepokea bili tarehe 15 january imepanda mpaka 130,000/- kwa mwezi..nilisikia hasira lkn ntafanya nn ukilalamika tanesco wanakwambia tutakukatia umeme.this is hell..nchi hii tumelala sana hatuna umoja kabisa mambo kama haya ni ya kupinga kwa nguvu zote, ukombozi hauji ukiwa umelala,,lazima kupigana ili uweze kujikomboa...sijui lini tutafika..

hii nchi nadhani tuna matatzo
 
Hivi base ya kukototoa hayo mahesabu ni ipi? Huwezi kuanza na shs 30,000 ulizotoa halafu uweke VAT ya 18% uitoe tena kwenye shs 30,000. Nadhani hayo ni makosa. Mfano rahisi, kama ni VAT tu ndio inakatwa, ukitoa shs 30,000, pesa za kulipia umeme ni Shs 25,423.73 VAT yake ikiwa 18% ambayo ni shs 4,576.27, jumla shs 30,000, na sio shs 30,000 toa shs 5,400 unabakiwa na shs 24,600 tu ambazo ni kidogo zaidi. Nadhani mahesabu yangekuwa kama ifuatavyo:

Pesa ya Umeme = Shs 24,096.39 ( tofauti na shs 22,650)
VAT (18%) 4,337.34
EWURA (4%) 963.85
Manispaa (2.5%) 602.42
Jumla 30,000.00

Nime-assume kuwa hizi rates sio compounded.

nashukuru
 
Sijakuelewa. Ebu cheki hii

HII NI YA KIPINDI CHA NYUMA (VAT ilikuwa 20% na EWURA 1%)

KALIPA SHS. 10,000.00,
Kwenye shs. 10,000.00 imekatwa shs. 2,786.63 kama FIXED COSTS COLLECTED ikiwemo 20%VAT na 1%EWURA ikabakia 7,213.37
X + (0.20+0.01) X = 7,213.37
X + 0.21X = 7,213.37
X = 7,213.37/1.21
X = Shs. 5,961.46
21% (VAT+EWURA) = 7,213.37 – 5,961.46
Kwa hiyo Kodi 21% (VAT+EWURA) ni Shs. 1,251.91



kwa hali maisha ya mjini yatatushinda
 
Juzi nilitoa maoni tanesco wanavyokata kodi nilienda kununua umeme wa elfu 30 walikata kodi karibu elfu 6'leo nimenunua wamenikata vat ya sh 13000 nilitoa elfu 70'sijui kama tutaweza kuishi mambo yenyewe hv
Naenda Mabibo External kuangalia uwezekano wa kupata umeme wa upepo ,kwani naona wakulu wamekaa kimya hawana utatuzi wa hili suala,toke Mwinyi,Mkapa na sasa Jakaya naona ni ngonjera tu,siamini kama wote hao walishindwa kutatua hili tatizo ,naona wamelifanya kama ndio vi EPA vyao
 
Hivi base ya kukototoa hayo mahesabu ni ipi? Huwezi kuanza na shs 30,000 ulizotoa halafu uweke VAT ya 18% uitoe tena kwenye shs 30,000. Nadhani hayo ni makosa. Mfano rahisi, kama ni VAT tu ndio inakatwa, ukitoa shs 30,000, pesa za kulipia umeme ni Shs 25,423.73 VAT yake ikiwa 18% ambayo ni shs 4,576.27, jumla shs 30,000, na sio shs 30,000 toa shs 5,400 unabakiwa na shs 24,600 tu ambazo ni kidogo zaidi. Nadhani mahesabu yangekuwa kama ifuatavyo:

Pesa ya Umeme = Shs 24,096.39 ( tofauti na shs 22,650)
VAT (18%) 4,337.34
EWURA (4%) 963.85
Manispaa (2.5%) 602.42
Jumla 30,000.00

Nime-assume kuwa hizi rates sio compounded.

Pole sana ndugu yangu. Watanzania tumelala. Ingekuwa nchi za wenzetu, mama yangu, hakika moto ungewaka.
 
MDUU ALIYEMSHINDA KIKWETE

Tanesco walizungukwa na mafisadi na baada ya kujua watawalipa wakahamua kupandisha umeme ili wapate hela za kurudisha pale wata

kapotoa zile bilion. Namshangaa sana Fisadi pinda kwa kusema eti viongozi wa dini wakae wajadili amani, pinda ndie fisadi kuliko wale wa

kwanza, kwani amelea maovu yote bila kukemea hata moja. Badala ya kuwaomba viongozi wa dini wakae wajadili jinsi ya kupata umeme

mbadala kama walivyo na shule na hosipitali anataka wajadili amani. Swali najiuliza itakuwaje viongozi wajadili amani kwenye giza?

Toka lini mwenye njaa akamsikiliza aliyeshiba, maana gesi sasa imekuwa mara mbili eti wanasingizia maharamia. Wahuni hawa, sisi tuna

gesi yetu ya songosongo na inaweza kupunguzwa nguzu kwa matumizi ya ndani. y tununue gesi ya ulaya?

Naomba kama watanzania tunaotumia mtandao huu, hebu tujitahidi tupate Democratic television. Ifanye kazi ya kuongea kwa uhuru hadi kila

mtu aelewe nini maana ya kudai haki kisha tuirejeshe tanzania yetu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom