FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Juzi nilitoa maoni tanesco wanavyokata kodi nilienda kununua umeme wa elfu 30 walikata kodi karibu elfu 6'leo nimenunua wamenikata vat ya sh 13000 nilitoa elfu 70'sijui kama tutaweza kuishi mambo yenyewe hv