ndivyo hivyo. Leo mchana huu nilikwewnda kwa agent wa tanesco kununua umeme kama ilivyoelekezwa na matangazo ya tanesco ya zaidi ya wiki sasa. Yule agent kaniambia hakuna luku -- yaani amesitisha kuuza umeme kwa sababu waliokuja kununua umeme leo hawakupata vikaratsi 3 kama tanesco ilivyotangaza -- mashine inatoa karatasi moja tu kama kawaida ya mauzo ya umeme na kwamba namba zake haziingii kwenye mita kabisa na wateja walirudi kulalamika na kudai hela zao, bila majibu.
Baada ya kuambiwa hivyo nikaja moja kwa moja kwenye computer yangu kuandika habari hii. Sijui wengine walionunua umeme leo wamepata masaibu gani.
ID yako imenipa majibu kibao ya ulichoandika hapo juu.
Zaidi ya 80% ya Watz hawafanyi kazi ipasavyo siajabu hata wewe mwenyewe haufiki kazini kabla ya 07:30 asubuhi muda uliopangwa na Serikali na siajabu kila siku unasign chini ya mstari, hili halioni ila unaona ya wenzio tu Tanesco, kifupi sisi Watz hakuna anayefanya ipasavyo wote wazembe kwa namna moja au nyingine aidha tunachelewa kufika sana kazini au tunawahi kutoka (kutoroka) au tunakwenda lunch kwa saa nzima, na yote hayo tunayafanya hatuyaoni kwa maana wanodhurika ni wengine ila mzunguko ukienda ukikufikia ndio unaanza kulalamika kama hayo ya Tanesco!
Hivyo kuwalaumu Tanesco kwamba hawafanyi kazi masaa 24 ni kuwaonea tu Watz karibu wote tuko hivyo, siajabu na wewe ukafit ktk hao niliowaleza hapo juu jibu unalo wewe mwenyewe kwenye nafsi yako!
ndivyo hivyo. Leo mchana huu nilikwewnda kwa agent wa tanesco kununua umeme kama ilivyoelekezwa na matangazo ya tanesco ya zaidi ya wiki sasa. Yule agent kaniambia hakuna luku -- yaani amesitisha kuuza umeme kwa sababu waliokuja kununua umeme leo hawakupata vikaratsi 3 kama tanesco ilivyotangaza -- mashine inatoa karatasi moja tu kama kawaida ya mauzo ya umeme na kwamba namba zake haziingii kwenye mita kabisa na wateja walirudi kulalamika na kudai hela zao, bila majibu.
Baada ya kuambiwa hivyo nikaja moja kwa moja kwenye computer yangu kuandika habari hii. Sijui wengine walionunua umeme leo wamepata masaibu gani.
Ndivyo hivyo. Leo mchana huu nilikwewnda kwa agent wa Tanesco kununua umeme kama ilivyoelekezwa na matangazo ya Tanesco ya zaidi ya wiki sasa. Yule agent kaniambia hakuna luku -- yaani amesitisha kuuza umeme kwa sababu waliokuja kununua umeme leo hawakupata vikaratsi 3 kama Tanesco ilivyotangaza -- mashine inatoa karatasi moja tu kama kawaida ya mauzo ya umeme na kwamba namba zake haziingii kwenye mita kabisa na wateja walirudi kulalamika na kudai hela zao, bila majibu.
Baada ya kuambiwa hivyo nikaja moja kwa moja kwenye computer yangu kuandika habari hii. Sijui wengine walionunua umeme leo wamepata masaibu gani.
Ndipo akajitokeza mzee mmoja na kueleza kuwa maboresha yanalenga kuwakamata wale wote waliounganishia umeme na vishoka. Na kwamba kwa wasiopata vikaratasi vitatu wako matatani! Na ndio maana maelekezo ni wao kuwasiliana na ofisi za TANESCO. Hivyo usitokwe mapovu bure, huenda ni mmoja wao.