Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ndivyo hivyo. Leo mchana huu nilikwewnda kwa agent wa Tanesco kununua umeme kama ilivyoelekezwa na matangazo ya Tanesco ya zaidi ya wiki sasa. Yule agent kaniambia hakuna luku -- yaani amesitisha kuuza umeme kwa sababu waliokuja kununua umeme leo hawakupata vikaratsi 3 kama Tanesco ilivyotangaza -- mashine inatoa karatasi moja tu kama kawaida ya mauzo ya umeme na kwamba namba zake haziingii kwenye mita kabisa na wateja walirudi kulalamika na kudai hela zao, bila majibu.
Baada ya kuambiwa hivyo nikaja moja kwa moja kwenye computer yangu kuandika habari hii. Sijui wengine walionunua umeme leo wamepata masaibu gani.
Baada ya kuambiwa hivyo nikaja moja kwa moja kwenye computer yangu kuandika habari hii. Sijui wengine walionunua umeme leo wamepata masaibu gani.