MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Wanalambwa nyu.... nini hawa TAA ZIMA,muhimu hapa ni vitendo watanzania tuingie barabarani,huu ndo muda wa kutiana adabu,kama vipi BAVICHA watuongoze tuzame road
Wenzetu wanaandamana huko Greece kutokana na maisha kuwa magumu na mimi naunga mkono maandamano yanayoanzishwa kwa pressure ya ndani inayosababishwa na waTZ kuchoka na haya ndio maandamano ya kweli na yenye tija kwani kila mtu ataandamana hadi haja yao ipatiwe majibu practical.