Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Wanajf habari zenu? Leo nimerudi toka kwenye mishughuliko tangu saa11jioni, ninashangazwa hasa na kinachofanywa na shirika la umeme, linakata umeme na kurudisha ghafla hii ni mara ya sita! Nipo maeneo ya mbez, jamani Tanesco mnamsikiliza nani? Mnakera bhana