Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
WanaJF, nimemsikiliza Msemaji wa TANESCO, Bi. Badra Masoud akihojiwa na mtangazaji wa TBC1 Bwana Marin Hassan Marin kwenye kipindi cha Jambo Tanzania asubuhi hii.
Nimeshangaa kumsikia akielezea mipango lukuki mara tutazalisha megawatt 100, mara megawatt 200, mara megawatt 60:
Kila mara ni mipango ya megawatt tu mbona hakuna umeme?
Watanzania tunataka umeme siyo mipango ya kilowatt wala megawatt ambayo haitoi tija tangia imeanza kutajwa na Waziri Ngeleja pamoja na TANESCO.
Nimeshangaa kumsikia akielezea mipango lukuki mara tutazalisha megawatt 100, mara megawatt 200, mara megawatt 60:
Kila mara ni mipango ya megawatt tu mbona hakuna umeme?
Watanzania tunataka umeme siyo mipango ya kilowatt wala megawatt ambayo haitoi tija tangia imeanza kutajwa na Waziri Ngeleja pamoja na TANESCO.