Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Hivi mgao wa umeme umeisha au unaendelea..? Manake hapo siku za nyuma kulikuwa hakuna mgao. lakini sasa naona hali inazid kuwa mbaya na unakatwa bila mpangilio ili hali mvua zinaendelea kunyesha mpaka mafuriko. Inakuwaje hili...?