Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 152
Habari wadau
Hivi karibuni kama wiki mbili kumetokea kukatika kwa umeme kila siku jioni mida ya saa moja usiku na kurudi kuanzia saa saba usiku hadi saa tisa usiku. Tatizo hili limejitokeza kwa maeneo mengi ya dar es salaam, mbeya, singida na kwingineko.
Wadau sijui kwa maeneo yenu hili limekaaje. Maana isije ikawa mgao umeanza kimya kimya bila taarifa. Ukataji wowote wa umeme kisheria unatakiwa utangazwe siku kadhaa kabla. Tanesco wamekuwa wakitangaza ukataji wa umeme unaotokea mchana tu, ukataji wa usiku unaenda kimya kimya.
Hivi karibuni kama wiki mbili kumetokea kukatika kwa umeme kila siku jioni mida ya saa moja usiku na kurudi kuanzia saa saba usiku hadi saa tisa usiku. Tatizo hili limejitokeza kwa maeneo mengi ya dar es salaam, mbeya, singida na kwingineko.
Wadau sijui kwa maeneo yenu hili limekaaje. Maana isije ikawa mgao umeanza kimya kimya bila taarifa. Ukataji wowote wa umeme kisheria unatakiwa utangazwe siku kadhaa kabla. Tanesco wamekuwa wakitangaza ukataji wa umeme unaotokea mchana tu, ukataji wa usiku unaenda kimya kimya.