Hili shirika lina ukiritimba..ligawanyike..ktk mashirika matatu (3 in One)..uzalishaji, usambazaji na uuzaji!
Actually hii ya kuuza umeme wangecontract out kwa watu makini TANESCO wangekusanya over 80% ya mapato! Nina wasi2 kuwa mikoani pesa nyingi haikusanywi watu wanatumia tu umeme kwa kujiunganishia bure tu! Kuna watu Moshi na Arushi Vijijini kwa miaka mingi hawalipi au hulipa tu % ndogo sana ..wao huwakatia tu posho ndogo jamaa wa TANESCO!
Taabu sasa wenyewe wanfanya kila kitu..ndo mawzo mgando hayo!