Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Wahusika wote hawa wa Richmond wako serikalini ama wanalindwa na viongozi wa serikali, nao ijumaa wataadimisha kumbu kumbu ya miaka 12 ya Mwl Nyerere - unafiki mtupu. Hata sitta aliyeongoza kuvunjwa kwa mkataba wa Richmond/Downs naye anapinga malipo, wakati haya ni matokeo ya maamuzi yake. Kweli Tanzania tuko pabaya kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru.