No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
Habari wana Jamvi;
Naomba niwasilishe hii mada ya ukosefu wa mita za LUKU. Toka mwaka jana (October 2010) wateja wapya wa TANESCO wamekuwa wakizungushwa bila kuelewa wapi waelekee kwani kumekuwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa mita za LUKU. Tanesco wamekuwa wanatoa ahadi hewa kila ukienda kufuatilia na wiki kama mbili zilizopita afisa uhusioano wa Tanesco Badra Masudi alikiri kuwepo kwa tatizo la luku lakini akasema limeshatatuliwa lakini toka itolewe hiyo taarifa hakuna lolote linaloendelea.
Jamani Tanzania Tunaelekea wapi?
Naomba niwasilishe hii mada ya ukosefu wa mita za LUKU. Toka mwaka jana (October 2010) wateja wapya wa TANESCO wamekuwa wakizungushwa bila kuelewa wapi waelekee kwani kumekuwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa mita za LUKU. Tanesco wamekuwa wanatoa ahadi hewa kila ukienda kufuatilia na wiki kama mbili zilizopita afisa uhusioano wa Tanesco Badra Masudi alikiri kuwepo kwa tatizo la luku lakini akasema limeshatatuliwa lakini toka itolewe hiyo taarifa hakuna lolote linaloendelea.
Jamani Tanzania Tunaelekea wapi?