Wana JF.
Binafusi sijaele nini kinaendelea huko Tanesco kwa sababu umeme umekuwa ukikatwa sana hasa nyakati za jioni lakini hatuja ambiwa kama kuna mgao au la..na kama ni Mgao inamaana Maji yamepungua tena Mtera,au kulikoni hebu nisaidieni.
Wana JF.
Binafusi sijaele nini kinaendelea huko Tanesco kwa sababu umeme umekuwa ukikatwa sana hasa nyakati za jioni lakini hatuja ambiwa kama kuna mgao au la..na kama ni Mgao inamaana Maji yamepungua tena Mtera,au kulikoni hebu nisaidieni.
hawa jamaa hawategemei mapato yatokanayo na mauzo ya umeme kuendesha shughuli zao! wangekua wanategemea sales wangeheshimu kila dakika ambayo mteja ameshindwa kutumia umeme waliouzalisha! si umesikia wamepeleka bakuli ili wapewe mgao kipindi hiki cha kuigawa keki kwa matishio kuwa tutaingia gizani?
najiuliza ni giza lipi hilo wakati moshi wa mshumaa unatuletea mafua tulio wengi! @,<:>~*/&%>>;...! zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.