TANESCO kimewaka, jenereta lalipuka Ubungo!

iringa nayo ziii tanesco poa sana yaani wanarahisisha kazi kwa vibaka hivihivi
 
Na huu umeme uliokatika saa mbili hii ni nchi nzima au? Kama vipi wasirudishe tujue moja.
 
Jamani hakuna cha kidumu wala chakindoo hapa. Imefikia wakati wawatanzania kuijia juu serikali ya ccm na kuing'oa madarakani, like tunisia, misri, n.k. Tumechoka jamani
 
Mimi hapa niko hapa Sikonge kikazi umeme umekatika ghafla. Nilipojaribu kufuatilia wenzangu wamesema hata majumbani kwao mikoani ni giza tupu. Kuna tetesi kuwa ni grid ya taifa imeachia, yaweza kuwa sababu ni fault, overload etc na nchi nzima inawezekana tuko gizani. .
 
Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?
Chukuwa chako mapema hii nnchi achaa tuu bajeti za mafuta unakuta zimetolewa namafuta hayajanunuliwa Mngu kaamuwa kuufunuwa uozo wa viongozi wa tz machoni pa dunia nakuizihilishia dunia ni jinsi gani wa tz wanavo teseka kuzaliliswa kukosa haki zao za kimsingi kwaujinga wa watu wachache wasio makini nakazi walizo pewa kuwatumikia wa tz
 
Mimi hapa niko hapa Sikonge kikazi umeme umekatika ghafla. Nilipojaribu kufuatilia wenzangu wamesema hata majumbani kwao mikoani ni giza tupu. Kuna tetesi kuwa ni grid ya taifa imeachia, yaweza kuwa sababu ni fault, overload etc na nchi nzima inawezekana tuko gizani. .

Grid ya taifa ina faida gani? nmasikia ni nchi chache sana duniani, hazifiki hata tano ambazo zina gridi ya taifa, ikiwemo India. Nadhani gridi ya taifa ndiyo inaleta matatizo kwani lazima ijae umeme kiwango kinachotakiwa ili iwashe mikoa yote iliyounganishwa nayo.

Iwapo tungeachana na gridi na serikali ikakoncentrate kila sehemu ya nchi kuwa na vianzo vyake vya nishati, nadhani mambo yasingekuwa hiv
i. Gridi ya taifa imeibwetesha serikali katika azma hiyo.
 
dsm karibia yote haina umeme. watu wa mikoani pia wanalalama facebook hamna umeme. ni tatizo gani na huyu waziri kwanini asijiuzulu tu maana kazi imemshinda? tunahitaji serikali inayowajibika
 
tanzania kujiuzuru viongozi ni mwiko kabisa. ni aibu kubwa sana hii. ngeleja hawezi kujiuzulu atakwambia mimi sikuwepo nilikuwa korea nakula konokono na pinda. its really a shame
 
Mnajaribu kulalamika wakati kila mtu anajua tatizo siyo Tanesco wala Ngeleja. Hakuna tatizo la umeme Tanzania. Ni kitu gani ambacho tumejiandaa nacho vizuri? Ni janga gani ambalo tunaweza kusema tumejiandaa vizuri kuepusha madhara yake? mafuriko? njaa? tetemeko la ardhi? Tunaishi kwa kudra na siwezi kushangaa wahusika walizungumza na Tanesco na "wakahakikishiwa" kuwa hakutakuwa na mgao jioni hiyo na hivyo hawakuona ulazima wa kujiandaa na contingencies za aina yoyote. Si hivyo ndivyo tulivyo? Kwani msongamano wa magari Dar ni kwa sababu hatuna barabara za kutosha? Well hatuna barabara za kutosha kwa sababu.....magari yameongezeka?
 
Sisi watz tutabakia kuwa mabingwa wa kuongea tu! Hakuna kitu chochote tunachoweza kufanya kuisaidia nchi yetu zaidi kulalama kama mavuvuzela ya kichina. Tusiwaze mtu kujiuzulu, ila tunahitaji kupeana adabu kama walivyofanya kule kenya na burundi, si unaona sasa hivi walivyoshika adabu zao na mambo yanakwenda kama yalivyopangwa
 
si kweli,Migodini,masaki,ikulu,uwt na viwanda vya cement umeme upo unakatika kwa walalahoi tuu!
 
dsm karibia yote haina umeme. watu wa mikoani pia wanalalama facebook hamna umeme. ni tatizo gani na huyu waziri kwanini asijiuzulu tu maana kazi imemshinda? tunahitaji serikali inayowajibika

Ajiuzulu na ilhali anakingiwa kifua na yule aliyemuweka Kikwete na Serikali yake yote mfukoni!? Kwa jina Rostam, hakuna wa kumgusa Ngeleja ndio maana nchi bado iko gizani, anahonga wana kamati wa kamati ya nishati ya Bunge ili kuhakikisha bajeti ya Wizara yake inapitishwa na madudu chungu nzima yaliyojaa ufisadi wa hali ya juu kama vile matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni 15 kwa mwezi eti kununulia mafuta ya IPTL lakini bado anapeta tu na ataendelea kupeta kwa muda mrefu ujao.
 
umeme inaonekana ni nnchi nzima umekatika mbeya haina umeme kunatetesi ufisadi mwingine unataka kufanyika
 
Back
Top Bottom