Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Wanajf najua nchi yetu kwa sehemu kubwa bado inapata machungu ya mgao wa umeme kutoka gridi ya taifa, hapa kigoma generator mpya zilizozinduliwa kwa mbwembwe na Raisi Kikwete mwezi wa tano 2010 sasa ni "white elephant". Mji wa kigoma kwa siku 3 sasa uko gizani generator zimezimwa na hakuna maelezo ya maana kutoka kwa uongozi wa Tanesco kigoma....jamani tukimbilie wapi sasa kila mahali ni giza totolooo!