Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu.
Kwa kuwa nchi yetu imeingia mkenge kwa mikataba uchwala ya kufilisi nchi, k.m TANESCO na IPTL, DTL, Dowans Holdings SA na Richmond na kote huko tunadaiwa mabilion ya Shs. Kwa nini tusitumie busara kama wafanya biashara ili TANESCO itangazwe muflisi, maana haiwezi kulipa madeni yote hayo kirahisi wakati interest ikizidi kupanda shauri ya kuchelewa. TANESCO itangazwe muflisi iwe under receivership kwa LAT.
Shirika liwe transformed ligawanywe kwenye sehemu tatu:-
1. Power Producing and Generating CO.
2. Power Transferring and Installation CO.
3. Distribution, Procurement and Sales CO.
Hapa kwanza kazi ya kuzalisha umeme itafanywa na kampuni nyingine. Umeme utanunuliwa na kampuni nyingine na kusafilishwa kwenye centers.
Umeme utanunuliwa na kampuni nyingine itakayo uza kwa wateja. Hapo hawa wote watakuwa makini na kazi zao bila pressure za kuingiliwa na mtu mwingine.
HAPO TUTAVUA ZIGO LA MAGHARAMA YASIYOKUWA NA SABABU.
Nawasilisha tuchangie kujikwamua!!!!!!!
Kwa kuwa nchi yetu imeingia mkenge kwa mikataba uchwala ya kufilisi nchi, k.m TANESCO na IPTL, DTL, Dowans Holdings SA na Richmond na kote huko tunadaiwa mabilion ya Shs. Kwa nini tusitumie busara kama wafanya biashara ili TANESCO itangazwe muflisi, maana haiwezi kulipa madeni yote hayo kirahisi wakati interest ikizidi kupanda shauri ya kuchelewa. TANESCO itangazwe muflisi iwe under receivership kwa LAT.
Shirika liwe transformed ligawanywe kwenye sehemu tatu:-
1. Power Producing and Generating CO.
2. Power Transferring and Installation CO.
3. Distribution, Procurement and Sales CO.
Hapa kwanza kazi ya kuzalisha umeme itafanywa na kampuni nyingine. Umeme utanunuliwa na kampuni nyingine na kusafilishwa kwenye centers.
Umeme utanunuliwa na kampuni nyingine itakayo uza kwa wateja. Hapo hawa wote watakuwa makini na kazi zao bila pressure za kuingiliwa na mtu mwingine.
HAPO TUTAVUA ZIGO LA MAGHARAMA YASIYOKUWA NA SABABU.
Nawasilisha tuchangie kujikwamua!!!!!!!