TANESCO in bed with Quality Group

Watu wanaodai kuwa Manji kaonewa na eti anaweka nje ya nchi pesa zake halali njooni tujadili humu. Natumai pamoja na kuwa imeandikwa kwa Kiingereza wachangiaji watapatikana!
 
..mmesahau kwamba JK alipokwenda USA alisafiri na Johnson Lukaza??

..mmesahau kwenye ile fundraising JK alikataa kupokea mchango wa Lukaza mpaka pale alipoongeza dau?
Kama Manji leo anatetewa na Chadema hata siku Lukaza akitiwa nguvuni malaika chadema watamtetea
 
Watu wanaodai kuwa Manji kaonewa na eti anaweka nje ya nchi pesa zake halali njooni tujadili humu. Natumai pamoja na kuwa imeandikwa kwa Kiingereza wachangiaji watapatikana!
Nimeisoma ni majungu tupu, Manji amefanya biashara halali na Tanesco so does Kernel.

Ingekuwa kuna ufisadi kama tungeelezwa ametoa huduma hewa na Kerner ameuza fire extinguishers hewa or at highly inflated prices.

Sio kila kinachosemwa na CAG ni ufisadi, angalia ripoti ya CAG ilisema nini kuhusu fedha za Escrow kama ni za umma au laa

Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma !
Paskali
 
Nimeisoma ni majungu tupu, Manji amefanya biashara halali na Tanesco so does Kernel.

Ingekuwa kuna ufisadi kama tungeelezwa ametoa huduma hewa na Kerner ameuza fire extinguishers hewa or at highly inflated prices.

Sio kila kinachosemwa na CAG ni ufisadi, angalia ripoti ya CAG ilisema nini kuhusu fedha za Escrow kama ni za umma au laa

Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma !
Paskali

Mkuu Pasco hivi mpaka Escrow unatetea? Kulikoni? Dah! Hii ya Tanesco yapo mengi. Ishu hizi ziko nyingi. Nakushauri usijaribu kutetea kile kisichoweza kutetewa. Tunakuheshimu wengi mkuu!
 
By ThisDay Reporter
21st December 2009


THE state-run Tanzania Electric Supply Company (TANESCO), which is currently being audited for possible financial mismanagement, awarded contracts worth billions of shillings this year to dubious individuals, including those linked to the Bank of Tanzania's external payment arrears account (EPA) looting scandal.

Business tycoon Yusuf Manji, who faces widespread allegations of corruption, was among the major beneficiaries of hefty TANESCO payments for the procurement of various goods and services through at least two of his companies during 2009.

The companies - Quality Trade & Distribution Limited and Quality Motors Limited &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; were paid more than 19.7bn/- out of TANESCO's supposedly-depleted coffers over the past 12 months alone.

The power utility firm, under its most recent managing director Dr Idris Rashidi, also did business with KERNEL Limited, a company owned by Dar es Salaam-based businessman Johnson Lukaza who is presently facing criminal charges over the EPA scandal.

TANESCO paid Quality Motors Ltd more than 5.75bn/- for the supply of motor vehicles, and another 14bn/- or so to Quality Trade & Distribution Ltd for the supply of various tools and equipment including transformers and service line material for rural electrification.

These particular payments are among expenditures under investigation as part of a special audit being carried out by the office of the Auditor and Controller General (CAG).

Quality Trade & Distribution Ltd was initially registered at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) offices in Dar es Salaam as Quality Distribution and Trade Limited, on February 21, 2001.

Just six days later (February 27), the name Quality Distribution and Trade Ltd was changed to Quality Trade & Distribution Ltd for reasons yet to be established.

The registered directors of the company are Yusuf Manji and his deceased father, Mehboob Manji.

Records show that various companies affiliated to the Manji-owned Quality Group have over the past few years been awarded other lucrative contracts worth billions of shillings by the reportedly cash-strapped TANESCO.

The controversial businessman faces various allegations of widespread tax evasion, fraud and corruption, and has further been allegedly linked to the infamous Kagoda Agriculture Limited which alone received more than 40bn/- from the EPA account.

He has denied the allegations.

KERNEL Limited, owned by Johnson Lukaza, was this year awarded by TANESCO a contract worth around 70m/- for the supply and servicing of fire extinguishers.

The management of the public utility (under Rashidi) did the deal with the company despite its owner being indicted over the EPA scandal last year.

In criminal case number 1156 of 2008 at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam, Johnson Lukaza and his brother Mwesiga Lukaza are jointly charged with fraud, conspiracy and the theft of more than 6.3bn/- from the Central Bank.

The Lukaza brothers are alleged to have forged legal documents purportedly between their company, KERNEL Limited, and Marubeni Corporation of Japan to siphon the money out of the EPA account.

Rashidi left TANESCO this month after expiry of his three-year employment contract, but is believed to be eying a fresh mandate at the helm of the reportedly financially-troubled power firm.

Well-placed sources say auditors from the CAG's office have already uncovered serious financial mismanagement at TANESCO through excessive purchases of luxury vehicles, furniture and construction of swimming pools at residential houses.

The lavish spending spree apparently authorized by Rashidi came against the backdrop of serious liquidity problems said to have hit TANESCO for quite sometime now.

The CAG-led special audit, which is basically targeting a massive syndicated loan of 300bn/- secured by TANESCO from various local banks in September 2007, is expected to be concluded next month.
All these guys are chadema members; aren't they?
 
..mafisadi wa iptl, wahusuki wa kashfa ya uda, ununuzi wa kivuko mkweche, nao mtawapima kama wanavuta unga?

That's not the point, mkuu!
Manji kuhusishwa na dawa za kulevya ni suala moja lakini hapa tunaangalia suala pana zaidi la uhusika wa Manji katika ufisadi wa kila aina. Tusitake kujenga huruma eti kaonewa huku tunaelewa fika madudu yake. Kufanya hivyo ni unafiki mkubwa!
 
That's not the point, mkuu!
Manji kuhusishwa na dawa za kulevya ni suala moja lakini hapa tunaangalia suala pana zaidi la uhusika wa Manji katika ufisadi wa kila aina. Tusitake kujenga huruma eti kaonewa huku tunaelewa fika madudu yake. Kufanya hivyo ni unafiki mkubwa!

..haya maswala kama tunataka kupambana nayo na kuyashinda ni bora tukawaachia WATAALAMU na VYOMBO VYA DOLA kushughulika nayo.

..wanasiasa wakiingia humo ndiyo unaona watu wanatetea au kupinga kwa kuongozwa na itikadi za vyama vyao.

..kwa maoni yangu ni vigumu sana kwa mtu wa upinzani akafanya ufisadi halafu serikali isimshughulikie haraka haraka.

..mwisho, mimi simtetei Manji. Hoja yangu ni kuwa wapimwe na wengine zaidi kwa mfano mafisadi wa iptl, escrow, richmond,etc ili kubaini kama wanatumia madawa.
 
..haya maswala kama tunataka kupambana nayo na kuyashinda ni bora tukawaachia WATAALAMU na VYOMBO VYA DOLA kushughulika nayo.

..wanasiasa wakiingia humo ndiyo unaona watu wanatetea au kupinga kwa kuongozwa na itikadi za vyama vyao.

..kwa maoni yangu ni vigumu sana kwa mtu wa upinzani akafanya ufisadi halafu serikali isimshughulikie haraka haraka.

..mwisho, mimi simtetei Manji. Hoja yangu ni kuwa wapimwe na wengine zaidi kwa mfano mafisadi wa iptl, escrow, richmond,etc ili kubaini kama wanatumia madawa.

Pamoja mkuu katika lote na ndiyo maana hata suala la Tigo tuliachie mahakama na vyombo vya Dola
Kuhusu wengine washughulikiwe ila kwa kwa kesi ya Tigo serikali haijahusika bali ni makampuni mawili.
 
..haya maswala kama tunataka kupambana nayo na kuyashinda ni bora tukawaachia WATAALAMU na VYOMBO VYA DOLA kushughulika nayo.

..wanasiasa wakiingia humo ndiyo unaona watu wanatetea au kupinga kwa kuongozwa na itikadi za vyama vyao.

..kwa maoni yangu ni vigumu sana kwa mtu wa upinzani akafanya ufisadi halafu serikali isimshughulikie haraka haraka.

..mwisho, mimi simtetei Manji. Hoja yangu ni kuwa wapimwe na wengine zaidi kwa mfano mafisadi wa iptl, escrow, richmond,etc ili kubaini kama wanatumia madawa.
Siku hazigandi...iko siku tu.
 
Makaburi yanafukuliwa, hela ya wale watanzania 110% walio vijijini wanaopata shida za miundo mbinu, maji, afya, elimu, ustawi wa jamii na n.k. n.k. utatesa watu mjini!
 
..haya maswala kama tunataka kupambana nayo na kuyashinda ni bora tukawaachia WATAALAMU na VYOMBO VYA DOLA kushughulika nayo.

..wanasiasa wakiingia humo ndiyo unaona watu wanatetea au kupinga kwa kuongozwa na itikadi za vyama vyao.

..kwa maoni yangu ni vigumu sana kwa mtu wa upinzani akafanya ufisadi halafu serikali isimshughulikie haraka haraka.

..mwisho, mimi simtetei Manji. Hoja yangu ni kuwa wapimwe na wengine zaidi kwa mfano mafisadi wa iptl, escrow, richmond,etc ili kubaini kama wanatumia madawa.
Vyombo vya dola vimeingia kazini sasa.
 
Kama Manji leo anatetewa na Chadema hata siku Lukaza akitiwa nguvuni malaika chadema watamtetea
Wote CCM na Chadema ni wapuuzi tu, wanapokezana ujinga. Ukikumbuka maandamano ya kuunga mkono kauli ya jk kuwa pesa za escrow si za serikali. Msimamo wa chadema ulikuwa kinyume........hebu angalia hali ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom